Jumatatu, 10 Juni 20130 comments

Mti Pori

Mti huu ni wa kupendeza sana ukiuona kwa karibu kwani unamatawi malaini na yanatereza, vito zake ni nyeupe sana kama karatasi ya kuandikia,unapatikana kwetu tabora na kigoma na baadhi ya maeneo nchini tanzania cha ajabu watu wa huko hawajui matumizi yake 
Share this article :

Chapisha Maoni

 
Copyright © 2013. KCC KIBAHA - All Rights Reserved
Template Created by KIJANA WA LEO Published by TITUS KAPOMA
Proudly powered by Blogger